Facebook Twitter YouTube Dailymotion Scribd Calameo
Slideshare Issuu Pinterest Google plus Instagram Telegram
Chat About Islam Now
Choose your country & click on the link of your language.
Find nearby Islamic centers & GPS location on the map.



Author:


Go on with your language:
qrcode

HABARI KUBWA Mtazamo mpya kuhusu Quran
Dkt. Muhammad Abdallah Daraaz

Wanazuoni wa Kiislamu wa kizazi hadi kizazi wameifanyia kazi miujiza ya Quran. Wakapanua sana katika kubainisha sehemu za miujiza. Na wakazama katika aina za miujiza ambayo yenyewe inazidi uwezo wa kuidhibiti idadi yake… Isipokuwa miujiza hiyo ya Quran inasalia kuwa ni maalum na kutokana na miujiza hiyo huchimbuliwa mambo mapya katika kila zama. Na hivyo hivyo Quran inaendelea kuwa ni muujiza wa kila zama. Yenyewe inajisasisha daima. Jambo ambalo linathibitisha na kuonesha ushahidi ya kuwa Quran hii haitokani na mwanadamu…
View Site in Mobile | Classic
Share by: